TIGblogs TIG | TIGblogs GROUP TIGBLOGS LOGIN SIGNUP
TUSEME KISWAHILI
Tumearifiwa kwamba kunalo kundi la wanaTIG wanaoshughulikia tafsiri ya Kiswahili ya tovuti nzima. Tukiyangojea matokeo ya kazi yao kwa hamu, tumeamua kuunda ukumbi huu ili kuwapa wasemaji wa Kiswahili fursa kujadiliana, kuchangia fikra zao na kujieleza katika Kiswahili. Nia yetu ni kuwaunganisha wanaTIG ambao, vinginevyo, hawangeweza kuwasiliana. Tuyavunje mapingamizi yanayotuzuia, na baadaye tutaweza kuiendeleza na kuitukuza lugha yetu . Tunakaribisha maandishi ya aina yoyote: Visa vifupi, makala, madondo kutoka shajarani zenu nk. Ombi letu ni moja tu: tafadhali changieni katika Kiswahili.


Word on the street is that members of a TIG group are working on translating the website so that it will eventually be available in Kiswahili. In the meantime, this is a forum for all speakers of Kiswahili to exchange ideas and to express themselves in Kiswahili. We would like to build bridges connecting TIGers from different communities who may otherwise not be able to communicate with each other. Let us break down the barriers holding us back so that we may develop and promote our language. Stories, journal entries, poetry and any other writing are welcome. All that we ask is that you express yourself primarily in Kiswahili.



« previous 5


kikenya   kikenya Miguel's TIGblog
Miguel's profile

WAKENYA WENZANGU NAWAOMBA TUDUMISHE AMANI

Wakenya wenzangu,
Bona nchi yetu kawa janga la vita?
Nani katuambukiza shida hii kwani jambo geni ambalo hatujakuwa nalo hapo awali?
Wakaazi wa mitaa ya mabanda, unyama upi kawaingilia? Mbona mwauana pasipo sababu kamili na hata kama ipo mwavunja amri iliyoko katika maadiko matakatifu.
Wakenya, kwani uhusiano ambao tumekuwa nao hapo awali ulijengwa juu ya misingi ipi?
Nawaomba kwa hisani yangu, isiwe tumejenga uhusiano wetu juu ya misingi ya KIKABILA wala KISIASA.
Je, mie mkaazi wa mtaa wa Mabanda na uhusiano upi na wizi wa Kura iwapo ulikuwepo?
Nawauliza tena, mie mkaazi wa Mabanda na uhusiano upi na wizi wa Kura iwapo ulikuwepo?
Ni jambo la kutisha kuona jinsi wahadhiriwa walioishi katika mitaa ya mabanda wanavyo ishi katika uwanja wa Maonyesho wa Nairobi na pia katika uwanja ulioko Nakuru.
Jambo na kutisha ni Kuwa Atieno na Nyambura hutumia godoro moja kwa upendo.
Je, wakenya Wenzangu, mbona tusione haya na kukomesha uhasidi uliojidhihirisha?


Mie kikenya1@yahoo.com

January 22, 2008 | 2:44 AM Comments  0 comments



bumbuwazed   bumbuwazed Kahendi's TIGblog
Kahendi's profile

Mgogoro wa Kisiasa Nchini Kenya
Related to country: Kenya


http://www.bbc.co.uk/swahili/news/story/2008/01/080102_dira2.shtml

Diplomasia yaingilia kati ghasia za Kenya
Imeandikwa na BBC London.

Pande zote mbili katika mzozo wa uchaguzi wa Kenya zimetupiana lawama za kuchochea ghasia huku jitihada za kidiplomasia zikifanyika kutuliza mgogoro wa kisiasa nchini humo.

Watu wasiopungua 275 wameuawa, wakiwemo 30 magharibi mwa Kenya ambao walichomwa moto ndani ya kanisa walikoenda kuomba hifadhi....

===============================================================================

Diplomatic Intervention in Kenyan Chaos
Written by BBC London

The two sides in the Kenyan election conflict continue to blame each other for inciting violence while diplomatic efforts are being made to bring an end to the political conflict.

Not less than 275 people have been killed, 30 of them burned to death in a fire in a church in the West of the country where they went to seek refuge...

January 3, 2008 | 11:05 PM Comments  0 comments



« previous 5


Owner
This Group TIGBlog is owned by: R Oburra.

Membership
Miguel
Christabell
Connie Wokuri
NKATHA
judy
Maxence M. Melo
David Diogène
Norma
Kahendi
Rahab
Terri
Terri-Ann Gilbert-Roberts
VICTOR RASUGU
Vitalis Wafula Wekesa

You must be logged in to join this group TIGblog.

Latest Posts
Utapiamlo (Malnutrition)
NI HUKUMU YA MUNGU AMA...
Siku iliyopita ...
Siku iliyopita ...
Ni vema kabisa ...

Monthly Archive
December 2007
January 2008
February 2008
March 2008
April 2008
May 2008
July 2008

Change Language



3861 views
Important Disclaimer