<?xml version="1.0" encoding="utf-8"?>
            <rss version="2.0" xmlns:geo="http://www.w3.org/2003/01/geo/wgs84_pos#" xmlns:georss="http://www.georss.org/georss">
                <channel>
                    <title>TIGblogs - Group - TUSEME KISWAHILI</title> 
                    <link>http://www.tigblog.org/group/kiswahili</link> 
                    <description>What's on the minds of young leaders from around the globe?</description> 
                    <language>en-us</language> 
             
                <item> 
                    <title>Utapiamlo (Malnutrition)</title> 
                    <link>http://www.tigblog.org/group/kiswahili/post/437789</link> 
                    <description><![CDATA[<A href="http://web.worldbank.org/WBSITE/EXTERNAL/NEWS/0,,contentMDK:20846228~pagePK:64257043~piPK:437376~theSitePK:4607,00.html">Ripoti Ya Benki Kuu Ya Dunia</a><br />
<br />
Utapiamlo Unasababishwa Upotezaji Wa Uzito Wa Uchumi. Huchanga Nusu Ys Vifo Vyote Vya Watoto, Lakini Unaweza Kuiepuka. Reporti Mpya Ya Benki Kuu Ya Duniani<br />
Nafasi ya njia bora ya kuzuia utapiamlo katika watoto ni kati ya wakati wa kupata mamba mpaka miezi 24<br />
<br />
	<br />
Utapiamlo Unasababishwa Upotezaji Wa Uzito Wa Uchumi. Huchanga Nusu Ys Vifo Vyote Vya Watoto, Lakini Unaweza Kuiepuka. Reporti Mpya Ya Benki Kuu Ya Duniani<br />
Nafasi ya njia bora ya kuzuia utapiamlo katika watoto ni kati ya wakati wa kupata mamba mpaka miezi 24<br />
	<br />
Available in: English<br />
Press Release No:2006/283/HD<br />
<br />
Anuani:   <br />
<br />
In Washington:  Phil Hay  (202) 473-1796 - ofisi<br />
<br />
(202) 409-2909 - cell<br />
<br />
Phay@worldbank.org<br />
<br />
Olivia Elee (202) 458-7318 – ofisi<br />
<br />
Oelee@worldbank.org<br />
<br />
 <br />
<br />
WASHINGTON, Marchi 2, 2006—Reporti mpya ya benki kuu ya duniani huonya kamba utapiamlo unagharimu nchi za maskini kama asilimia 3 ya GDP yao wa kika mwaka, wakati watoto wenye utapiamlo wanadhima kwa kupotiza zaida ya asilimia 10 ya kupata uwezo wa maisha yao.  Reporti inasema pia kwamba utapiamlo huweza kuongeza hatari za kuathiriwa na ukimwi, vilevile hupunguza idadi ya wanawaki na watoto wanaookoka malaria.<br />
<br />
 <br />
<br />
Kwa myibu wa reporti mpya – Kuweka Utapiamlo Kama katikati Ya Maendeleo – utapiamlo umekuwa kwa muda mrefu umejulikana kupunguzu maendeleo ya uchumina kuendelezo umasikini, nab ado kupinda cha miaka kumi jamui ya kimataifa na serikali nyingi katika nch zinazoendelea wameshindwa kushughulika utapiamlo, ijapokuwa kuna mtazamo yanayo tahiri kabisa kama reporti inauyosema “sasa chaguo cha muhimu nibaina ya kuendelea kushindwa, kama jumuia ya ulimwengu uliuyofanya na ukimwi kwa kupita miaka kumi au kwamwisho weak lishie kaikati ya maendeleo ili safu kubwa ya uchumi na maendeleo ya jamui yanayotegemea na lishie inaweza kutambua.”<br />
<br />
 <br />
<br />
Reporti  husma kwamba nchi zinazoendelea ambazo ziwekeza pesa nyingi kwenye lishie ya watoto wao hupata faida kubwa kwa mfujaji yao.  Kundi la wataalamu wa maendeleo ya uchumi duniani kwa mfano, pamoja na Nobel malenga wa ushairi yaliandika katika inaikitega imekuwa mojawapo waridhika ambayo nchi zinaaoendelea kupunguza umasikini na kuendeleza na maendeleo ya uchumi.<br />
<br />
 <br />
<br />
Jean-Louis Sarbib, makana wa rais mkubwa kwa maendeleo ya binadamu katika benki kuu ya duniani anasema, “ukosefu wa lishie imehusishwa katika nusu ya vifo vya watoto duniani – urari usio maradhi ya kuambukiza yeyote tangu vifo uyeusi: anasema unalingana fukara ya afya na tena mambo ya hali lakini badi, wafanye sera, wanasiasa na wachumi wanahindwa kutambua mambo haya kwa mfano, kiasi na asilimia sitini ya watoto wanakufa kutoka maradhi kawaida kama kipindukipinchu na malaria, wangeishi wangepata chakula cha kulishie ya kwanza.”<br />
<br />
 <br />
<br />
Utampiamlo haionyeshi umasikini tu – repoti huita “Non-income face of poverty” yaani inaendela umasikini.  Sarbib anasema pia kwamba watoto wanaotapiamlo wana acha kwenda shule na wanapata mapato madogo wakikuwa: wazima, wakati wa kwendelea na lishie, inaogeza GDP na asilimia 2-3 katika nchi za umasikini na kuendesha maendeleo wa uchumi. “Kuweka hizi katika muktadha kuwa uchumi wa unchi nyingi zinazoendelea katika asilimia 2-3 kila mwaka, na kuendelea lishie itaiwezekana kumara dufu mwendo hii. Bado jamui ya mazingira hii mpaka sasa” Sarbib akasema.<br />
<br />
 <br />
<br />
Kwanani Utapiamlo Unaendelea<br />
<br />
 <br />
<br />
Kinyume cha utambuzi wa maoni utapiamlo si matokeo ya kupata chakula kidogo kula; kwa hakika watoto wengi wanaoishi nyumba yenye chakula kingi hawejaongezeka uzito  kwasababu ya endeleza vibaya ya kulish watoto chakula fikara ya utumishi wa afya au fukari ya usafi.  Katika nchi ambazo utapiamlo umeeneza, kilimo si mtiririko kikomo ijapokuwa kuna hati ya njaa.  Bhaadi ya mtiririko muhumini:<br />
<br />
 <br />
<br />
·         Wajamzito na wanawake wanaonyonyesha wanakula kalori kidogo saana na proteini ndogo, wanalathari yanayotendea vibaya, kama maradhi yanayopitisha kwa ngono yaliyosababisha kuzakliwa ya koo duni au hawapumziki vizuri.<br />
<br />
·         Wanawake wana muda mdogo tu kuwatunza watoto wao wakati wa ujamzito.<br />
<br />
·         Wanawala wanaojifungua wanatoa maziwa ya kwanza yanayojulikana kuwa “colostrumi” zinazotia nguvu kwa kukinya mwili za motto.<br />
<br />
·         wanawake mara nyingi huwalisha watoto wao chakula ambao hawajafika umriwa matiti hugawa maziwa peke ni njia bora ya virutubishi na njia ya kukinga maradhi yanayoathirika na yanayo kudu mika.<br />
<br />
 <br />
<br />
Athari za ukosefu wa lishie zinaonekana wakati wa ujamzito na katika chanzo cha miaka miwili ya maisha, na hasara hii ya chanzo zinazo athirikwa ni afya, maendeleo ya akili, busara, elimu, tija havinidisha mipango ya lishie yanayohusu watoto wakubwa yana athari ndogo tu.  Ikiwa kuna matokeo ya usahidi wa kwanza unamaanisha kwamba asili ya kitambi na maradhi yasiyo kuambukiza kama’cardiocascular maradhi ya moye na ugonjwa wa kisukari yanaweza yawe chanzo cha utoto.   <br />
<br />
 <br />
<br />
Benki inasema kwamba serikali za mali ambazo hazitoshi wanashauriwa kuchukua nafasi hii kama njia bora baina ya njamzito na umri wa mienzi 24 ingawa tendo la kuzui kitambi linaweza kuendelea badaye.<br />
<br />
 <br />
<br />
“Tunajua na tunafikiri kwamba huwapa watoto uyakula vingi na kuwalisha, lakini reporti hii huonyesha kuwa tumefanye kidogo tu kuendeleza ha lishie ya watoto kati ya ujamzito na mpaka miaka miwili semwa na Meera Shekar, mkuu mtaalam wa benki kuu ya dunia juu ya maendeleo ya binadamu, na mwandishu mkuu wa reporti mpya. “Uharifu wakati wa muda huu hauwezi kutengeneza.  Tukikosa nafari tumekosa nafasi kuwasaidia watoto wote duniani.<br />
<br />
 <br />
<br />
Afrika na Asia kusin zimeathiriwa utapiamlo<br />
<br />
 <br />
<br />
Reporti inasema kuwa kiasi cha moja wa tatu chini ya miaka mithawo katika nchi zinazoendelea hawajaongezeka uzito na asilimia thelathini ya watu wa chini zinazoendelea huendelea kusumbuliwa na vitamini na madini lakini mambo haya yanabadilisha, utapiamlo umepanda sana katika sub-sahara Afrika utapiamlo na ukimwi unaimarishana, kwahiyo ushindi wa mipango wa ukimwi katika Afrika inategemea kwa upande Fulani juu ya kuwa uangalifu walishie.<br />
<br />
 <br />
<br />
Katika Asia, daraja la utapiamlo unapungua lakini Asia kusini bado inadara jo la juu na idadi kubwa wa watoto ambao wameathiriwa na utapiamlo.  Kiyume cha maoni ya kawaidi, maeneo ya tapiamlo katika nchi zinazokuwa na watu wengi kama nchi za Asia kusini, India, Bangladeshi, Afganistani, Pakistani, zinadaraja kubwa asilimia thelathini na nane mpaka hamisini na moja kuliko zile sub-sahara Afrika ambazo ni asilimia 26.<br />
<br />
 <br />
<br />
Hasa katika Asia mashariki, latin Akerika na Ulaya nchi nyingi wana tatizo sana ya kutolishi au utapiamlo wa micronutrienti kwa mfano, Cambodia, Indonesia, Lao PDR, Philippini, na vietnami, Guatemala, Haiti, na Hondurasi, na Uzbekistani.<br />
<br />
 <br />
<br />
Praful Patel, makaimu wa rais wa mikoa ya Asia kisini alisema kuwa, “Tulijuakwahakika kuwa watoto wengi walioathiriwa na utapiamlo waliishi Asia kusini, lakini reporti hii inatuonyesha kuwa mambo ya ajabu ni kwamba kutolishie katika Asia kusini imeongezeka kuzidi mara mbili kukiko sub sahara Afrika kiasi nusu ya watoto nchini India hawali vizur.  Kuligana na robo ya na watu wa sub sahara Afrika.  Hali hii si vizuri, hata tukiangalia matokeo ya hali hii juu ya uchumi wa India.  Benki kuu inafanya kazi sana na serikali kutia uguvu kapeni kupiga utapiamlo katika Asia kusini.<br />
<br />
 <br />
<br />
Kwa njia gani nchi zinaweza kuweka utofauti?<br />
<br />
 <br />
<br />
Ingawa kuna matatizo ya uchumi nchi nyingi zinazoendelea zimefanya vizuri kwa maendeleo kwa mfano, zaidi ya mbili ya tatu katika nchi zinazoendelea sasa wanaweka chumvi ya iodine.  Katika vyakula vyao kupinga ukosefu ambao unawathiri watu billioni tatu na nusu hasa wanawake na watoto katika nchi mia moja na zaidi.  Kiasi millioni mia nne ha hamsini ya watoto sasa wanapewa vitamini A capsules, kupinga ukosefu wa vifo vya watoto.  Utafiti unaonyesha kuwa ingawa maendeleo ya uchumi unapunguza utapiamlo, mipangao ya lishie ya aina hii unamatokeo upesi upesi sana na ni bora kukilo nchi ambazo zinajitegemea  maendeleo ya uchumi.<br />
<br />
 <br />
<br />
Kuendeleza lishie inahitaji nguvu ya wazazi wa jamaa, pia inahitaji uguvu ya wenyeji na kitaifa na pia huduma ya umma hasa mai ha usafi.  Thailandi, imeonyesha kwamba utapiamlo kali unaweza kupungua kiasi sabini na tano au zaidi kutokana na njia haya.  Njia nyingine ya kuendeleza lishie ni kuwapa watu afya nzuri na elimu ya lishie na huduma.  Kwa mfano, kupandisha unyonyesho ya msingi juu ya huduma ya afya ya watoto.<br />
<br />
 <br />
<br />
Paul Gertler, mkuu wa uchumi katika cheo ya maendeleo ya binadamu katika benki kuu ya duniani na pia profesa wa afya ya uchumi na pesa katika chuo kikuu cha California, Berkley, alisema, “Tunaona uthibithi kwamba inaonyesha kwamba katika nchi zinazoendelea kidogo na nchi za umasikin kuna njia halisi kuendeeza lishie kule.  Ujuzi katika Mexico, unaonyesha kuwa pesa zinazoingia nchi pamoja na afya na huduma ya lishie yaneruhushwa watu wa umasikini kuendeleza cheo cha lishie.  Nchibnyingi kamaBangladeshi, Hondurasi, na Madagascari, kwa ushindi zimsambata uwezo wa jamaa kupinga utapiamlo pamoja na NGO kwa Kutumia njia halisi.”   <br />
<br />
 <br />
<br />
Reporti mpya inatumaimisha nchi zinazotaka kupinga utapiamlo kwa njia ya halisi kutumia masomo kutoka njia haya ya uvumbuzi kuendeleza mipango ya lishie ya kitaifa ambao itakuwana nguvu kuwasaidia watu wengi duniani makosa ya zamani kuendeleza tendo la lishie inatokana na ukosefu wa ahadi ya serikali ambao inasababisha madai ya msaada katika lishie.  Kwa halihii wajibu wa waraidizi wa kimataifa wakala wa maendeleo na watu wengine wanapaswa kufanya zaidi kuwasaidia serikali.<br />
<br />
 <br />
<br />
Wanahitaji kutumia nguvu zao za msaada utafiti na utetezi, kutia moyo na kushawishi serikali kuweka lishie juu katika mipango ya nchi.  Vyombo vya habari duniani na kitaifa vina jukumu kubwa kuishawishi serikali kuangalia mambao ya lishie kwa uangalifu sana.<br />
<br />
 <br />
<br />
Kwa mwisho, ni muhimu kwa wasaidizi na nchi kurudia hali ya kisasa ambayo lishie haipati mfuko wa kutosha ili kupata ushindi.  Maendeleo ya jamaa inahitaji mfuko kusaidia, ahadi na mpango pesa za dolla millioni tatu na sita zinahitajiwa kwa mambo haya.<br />
<br />
 <br />
<br />
Hesabu ya mwanzoni inaonyesha kwamba kiasi  dolla 235 millioni (dolla mia mbili thelathini na tano millioni) kwa kila mwaka inahitajiwa kutatua na kuendelea mipango ya micronutrienti katika bara la Afrika.  Gharimu ya mikoa nyingine na tena kwa upande Fulani wa lishie hajahesabiwa.  Gharimu nyingine ni kubwa zaidi (dolla mia saba na hamsini millioni kwa dosi ya mili ya vitamini A kwa mwaka kati ya dolla billioni moja na nusu kwa chumvi ya iodine duniani pamoja na dolla mia nane millioni mpapa dolla laki moja na mbili illioni kutoka secta ya binafsi na dolla billioni nyingi kwa mipango ya lishie katika jamaa).<br />
<br />
 <br />
<br />
Benki kuu ya dunia inasema kwamba vitendo hii inahitaji kubaliano na tena kutendwa na uchi zinazoendelea pamoja na maendeleo ya jamaa kama eporti mpya inasema utapiamlo husababishwa umasikini na bila kulingana mana kutia mkazo juu ya matendo, “haitakuwa na maendeleo yeyote juu ya lishie au kupunguzu umasikini kamwe.”<br />
<br />
###<br />
<br />
Kwa taarifa zaidi katika kazi ya benki ya lishie nenda:<br />
www.worldbank.org.nutrition]]></description> 
					<pubDate>Thu, 24 Jul 2008 13:33:00 EDT</pubDate> 
					<guid isPermaLink="true">http://www.tigblog.org/group/kiswahili/post/437789</guid>
					<georss:point>-1.2833333 36.8166667</georss:point><geo:Point><geo:lat>-1.2833333</geo:lat><geo:long>36.8166667</geo:long></geo:Point>
                </item> 
                <item> 
                    <title>NI HUKUMU YA MUNGU AMA NI NINI HASWA?</title> 
                    <link>http://www.tigblog.org/group/kiswahili/post/375459</link> 
                    <description><![CDATA[Hivi karibuni kumekuwa na mitetemeko ya ardhi ambayo imetishia uwezekano kwa kuongezeka kwa baa la njaa hapo duniani. Katika nchi ya Uchina, ambayo itakuwa inai…….michezo ya olimpiki mwaka huu, mitetemeko hii imekuwa moja baada ya nyingine. Jambo ambalo laweza kuongezea idhadi ya nchi ambazo hazitashiriki katika michezo hii. Si tu kwasababu ya mitetemeko hii bali juu ya mambo ya kisiasa yanayoendelea kati ya nchi ya Unchi na Tibeti.<br />
Hapa nchini Kenya pia twaarifiwa ya kuwa milima kumi na tani ambayo iko katika bonde la ufa, ina uwezekano ya kulipuka saa yoyote ile. Ni dhairi shairi kwamba Mlima kama Kenya ambao haujadhibitishwa bado kama una uwezo wa kulipuka. Habari hizi zimetwaliwa kulingana na wanasayansi wa Kigiografia kutoka Chuo Kikuu cha Nairobi. Pia haijulikani kama milima kama Elgon iliyodhibitishwa haiwezi tena kamwe kufanya hivyo?<br />
Jambo la kusikitisha ni kwamba nchi ya Kenya haijatilia maanani mawaidha ya wabageografia hawa ya kuweka vidhibiti katika ardhi ili kuichunguza kwa umakini mitetemeko hii. Vidhibit hivi vinagharimu karibu shilingi milioni tano tu na vyaweza kuinusuru nchi yetu na nchi zingine ambazo zategema Kenya kama Uganda, Rwanda, Burundi, Somalia na hata Sudan.<br />
Katika sekta ya ukulima pia ambayo ndio kufanyika sana katika Bonde hili la ufa, maafa yaweza kuwa zaidi ya yale tunatarajia. Bonde la ufa ndilo lililo na idadi kubwa zaidi ya watu nchini kwa hivyo kukaweza kutukia milipuko hii, twaweza kupoteza halaiki kubwa sana ya watu! Pia twajua ya kuwa sehemu hii ndio inayokuza chakula kingi cha kulisha nchi nzima! Hivyo basi tukiangalia pande zote mbili, tutawapoteza watu walio na nguvu za luendeza uchumi wetu na pia kupoteza nafaka ambayo nchi nzima inatarajia kutumia kama chakula!<br />
Serikali lazima ijue ya kwamba ina jukumu kubwa la kuwakidhi, kuwalinda na kuheshimu maisha ya wananchi wao na sit u porojo za siasa kila mara! Ni muhimu serikali yetu kuweza kuweka chini mipango ya kuviweka vidhiti hivi ili kuikoa nchi yetu kutokana na janga hili linalotunin’ginia!<br />
Lakini, ni Mungu ambaye antuhukumu ama nini twaweza kujiuliza? Lazima tuchunguze mienendo yetu ingawa tutaweza kuishi bila vvikwazo hivi amabvyo vimetusoga hivi karibuni.<br />
]]></description> 
					<pubDate>Thu, 22 May 2008 04:58:00 EDT</pubDate> 
					<guid isPermaLink="true">http://www.tigblog.org/group/kiswahili/post/375459</guid>
					<georss:point>-1.85 36.7833333</georss:point><geo:Point><geo:lat>-1.85</geo:lat><geo:long>36.7833333</geo:long></geo:Point>
                </item> 
                <item> 
                    <title>Siku iliyopita ...</title> 
                    <link>http://www.tigblog.org/group/kiswahili/post/355981</link> 
                    <description><![CDATA[Siku iliyopita niliwaza na kuwazua juu ya walioathirika na kupoteza makao yao walivyojipata katika janga hili la ufukura usiooleweka hadi sasa! Mawazo haya yote yalinijia nikiwa nikishiriki misa kaninsani, na si ya kuwa misa hiyo ilikuwa si ya kufana la hasha, lakini mambo niliyoshuhudia yalinifanya kushikwa na ghababu kuu sana!<br /><br />
Tulipofika kanisani misa ilikuwa ishaanza na kwa hivyo hatukuwa na budi kujitetea kwa kwenda kujaribu kumshawishi mwalimu wa dini kutupa benchi moja ili tuweze kuitumia humo kanisani. Pengine bahati yetu kwasababu tuliweza kuwapata Vijana wavulana wawili waliotusaidia kubeba benchi ile. Mara tulipofika kanisani, kundi kubwa la watu lilivamia benchi hiyo na kukaa ikabidi mmoja wa Vijana hao kukosa hata nafasi ya kuweza kujisitiri! Lahaula, waliosema usistaajabu ya musa ya firauni hujayaona kweli alinena. Nilibaki mdomo wazi kwa vile sikuweza kufikiri ya kuwa jambo kama hilo lingeliweza kutendeka katika hadhara na kwa kusitiza hii iliyo na wakristo wanaomcha Mungu! Nilifunzwa tangu utotoni kumpa mtu yeyote haki yake na moja ya haki hizi kulingana name ni kumpa nafasi mtu aliyebeba benchi hiyo nafasi ya kwanza na ilkiwa itakuwa ipo bado basi wengine nao wafuate kuanzia wakubwazo!<br /><br />
<br /><br />
Nilishangaa na kwa kuwa sikutaka kuonekana kuwa alipigwa na butwaa, mawazo mengi sana yalinijia na nikaweza kulinganisha yaliyotendeka na vile wahasiriwa waliopoteza makao yao yalivyonijia!<br /><br />
<br /><br />
Jamani wenzangu twaweza kuishi maisha yasiokuwa na kuwanyang’anya wenzetu yaliyo yao ya haki??]]></description> 
					<pubDate>Wed, 02 Apr 2008 06:04:00 EDT</pubDate> 
					<guid isPermaLink="true">http://www.tigblog.org/group/kiswahili/post/355981</guid>
					<georss:point>18.0 -76.8</georss:point><geo:Point><geo:lat>18.0</geo:lat><geo:long>-76.8</geo:long></geo:Point>
                </item> 
                <item> 
                    <title>Siku iliyopita ...</title> 
                    <link>http://www.tigblog.org/group/kiswahili/post/356111</link> 
                    <description><![CDATA[Siku iliyopita niliwaza na kuwazua juu ya walioathirika na kupoteza makao yao walivyojipata katika janga hili la ufukura usiooleweka hadi sasa! Mawazo haya yote yalinijia nikiwa nikishiriki misa kaninsani, na si ya kuwa misa hiyo ilikuwa si ya kufana la hasha, lakini mambo niliyoshuhudia yalinifanya kushikwa na ghababu kuu sana!<br /><br />
Tulipofika kanisani misa ilikuwa ishaanza na kwa hivyo hatukuwa na budi kujitetea kwa kwenda kujaribu kumshawishi mwalimu wa dini kutupa benchi moja ili tuweze kuitumia humo kanisani. Pengine bahati yetu kwasababu tuliweza kuwapata Vijana wavulana wawili waliotusaidia kubeba benchi ile. Mara tulipofika kanisani, kundi kubwa la watu lilivamia benchi hiyo na kukaa ikabidi mmoja wa Vijana hao kukosa hata nafasi ya kuweza kujisitiri! Lahaula, waliosema usistaajabu ya musa ya firauni hujayaona kweli alinena. Nilibaki mdomo wazi kwa vile sikuweza kufikiri ya kuwa jambo kama hilo lingeliweza kutendeka katika hadhara na kwa kusitiza hii iliyo na wakristo wanaomcha Mungu! Nilifunzwa tangu utotoni kumpa mtu yeyote haki yake na moja ya haki hizi kulingana name ni kumpa nafasi mtu aliyebeba benchi hiyo nafasi ya kwanza na ilkiwa itakuwa ipo bado basi wengine nao wafuate kuanzia wakubwazo!<br /><br />
<br /><br />
Nilishangaa na kwa kuwa sikutaka kuonekana kuwa alipigwa na butwaa, mawazo mengi sana yalinijia na nikaweza kulinganisha yaliyotendeka na vile wahasiriwa waliopoteza makao yao yalivyonijia!<br /><br />
<br /><br />
Jamani wenzangu twaweza kuishi maisha yasiokuwa na kuwanyang’anya wenzetu yaliyo yao ya haki??]]></description> 
					<pubDate>Wed, 02 Apr 2008 06:04:00 EDT</pubDate> 
					<guid isPermaLink="true">http://www.tigblog.org/group/kiswahili/post/356111</guid>
					<georss:point>-1.85 36.7833333</georss:point><geo:Point><geo:lat>-1.85</geo:lat><geo:long>36.7833333</geo:long></geo:Point>
                </item> 
                <item> 
                    <title>Ni vema kabisa ...</title> 
                    <link>http://www.tigblog.org/group/kiswahili/post/355983</link> 
                    <description><![CDATA[Ni vema kabisa kuelewa swala au mswaada wa mambo yanavyo endela nchini Kenya.Hivi tunavyozungumza, sheria mbili mwafaka za kuidhinisha ofisi ya Waziri mkuu na pia tume ya kuchunguza na kuhakikisha ukweli na haki zimeshatiwa sahihi na sasa zangojea tu kuandikishwa rasmi .<br /><br />
Twaona kwamba pia wanasiasa wameweza kuyaweka masilahi ya wakenya kwanza na kwa moyo wote kuunga mkono miswaada hii. Katika bunge, twaona ya kuwa Rais Kibaki alihudumu kikao hiki cha tatu kama Mbunge wa Othaya na wala si kama rais. Hii ni dhairi shairi kwamba pia yeye ameunga mikakati inayo endelea ya kuwezesha  amani nchini Kenya. Chama cha ODM ambacho kilionekana kuweza kuanza kuwa na migogoro hivi karibuni , kupitia kwa msimamo ambao Kigogo wa Pentagon bwana Ruto aliokuwa ameuchukuwa, kimefikia  maelewano ambayo yameleta utulivu. Bwana Ruto ametangaza hadharani  kuwa anaunga mkono kuteuliwa kwa Bwana Musalia Mudavadi kama Naibu wa waziri mkuu.  Bwana Ruto alitangaza haya akiwa katika eneo lake la bunge la allipohodhuria sherehe ya kuwatuza wanafunzi bora katika shule ya wanafunzi ya wasichna ya Eldoret.Musalia Mudavadi  anayejulikana kwa umaarfufu kama  ‘Double M’ , ni mbunge wa Sabatia katika mkoa wa Magharibi.<br /><br />
<br /><br />
Twaomba kama wakenya na hasa wana TIG ya kuwa miswaada iliyoutiwa sahihi, itafuata kwa makini na kila anayehusika atatia for a na kufanya jukumu lake la kuhakikisha ya kuwa mambo yaliyojadiliwa yatatimizwa.<br />]]></description> 
					<pubDate>Thu, 20 Mar 2008 11:03:00 EDT</pubDate> 
					<guid isPermaLink="true">http://www.tigblog.org/group/kiswahili/post/355983</guid>
					<georss:point>18.0 -76.8</georss:point><geo:Point><geo:lat>18.0</geo:lat><geo:long>-76.8</geo:long></geo:Point>
                </item> 
                <item> 
                    <title>Ni vema kabisa ...</title> 
                    <link>http://www.tigblog.org/group/kiswahili/post/356113</link> 
                    <description><![CDATA[Ni vema kabisa kuelewa swala au mswaada wa mambo yanavyo endela nchini Kenya.Hivi tunavyozungumza, sheria mbili mwafaka za kuidhinisha ofisi ya Waziri mkuu na pia tume ya kuchunguza na kuhakikisha ukweli na haki zimeshatiwa sahihi na sasa zangojea tu kuandikishwa rasmi .<br /><br />
Twaona kwamba pia wanasiasa wameweza kuyaweka masilahi ya wakenya kwanza na kwa moyo wote kuunga mkono miswaada hii. Katika bunge, twaona ya kuwa Rais Kibaki alihudumu kikao hiki cha tatu kama Mbunge wa Othaya na wala si kama rais. Hii ni dhairi shairi kwamba pia yeye ameunga mikakati inayo endelea ya kuwezesha  amani nchini Kenya. Chama cha ODM ambacho kilionekana kuweza kuanza kuwa na migogoro hivi karibuni , kupitia kwa msimamo ambao Kigogo wa Pentagon bwana Ruto aliokuwa ameuchukuwa, kimefikia  maelewano ambayo yameleta utulivu. Bwana Ruto ametangaza hadharani  kuwa anaunga mkono kuteuliwa kwa Bwana Musalia Mudavadi kama Naibu wa waziri mkuu.  Bwana Ruto alitangaza haya akiwa katika eneo lake la bunge la allipohodhuria sherehe ya kuwatuza wanafunzi bora katika shule ya wanafunzi ya wasichna ya Eldoret.Musalia Mudavadi  anayejulikana kwa umaarfufu kama  ‘Double M’ , ni mbunge wa Sabatia katika mkoa wa Magharibi.<br /><br />
<br /><br />
Twaomba kama wakenya na hasa wana TIG ya kuwa miswaada iliyoutiwa sahihi, itafuata kwa makini na kila anayehusika atatia for a na kufanya jukumu lake la kuhakikisha ya kuwa mambo yaliyojadiliwa yatatimizwa.<br />]]></description> 
					<pubDate>Thu, 20 Mar 2008 11:03:00 EDT</pubDate> 
					<guid isPermaLink="true">http://www.tigblog.org/group/kiswahili/post/356113</guid>
					<georss:point>-1.85 36.7833333</georss:point><geo:Point><geo:lat>-1.85</geo:lat><geo:long>36.7833333</geo:long></geo:Point>
                </item> 
                <item> 
                    <title>Lugha na Mikakati</title> 
                    <link>http://www.tigblog.org/group/kiswahili/post/337601</link> 
                    <description><![CDATA[Hapa Marekani, huwa sipati fursa nyingi kuongea Kiswahili. Mara kwa mara hutokea mtu anayekifahamu. Twaanza kuongea, lakini kila baada ya maongezi mafupi, twajikuta tukijitumbukiza katika kidimbwi cha Kimombo. Vilevile, nikijaribu kuandika Kiswahili, vikwazo vingi hutokea mbele yangu. Ni rahisi zaidi kwangu kutumia Kimombo.<br />
<br />
Suala la lugha ni suala la kisiasa. Lakini zaidi ya hayo, ni suala la mawasiliano. Kila mtu hutamani kueleweka, na tena hutamani kumwelewa mwenziwe. Kila mwandishi anapoandika, huwa na makusudi ya kueneza ujumbe wake kokote kunakostahili. Hutekeleza lengo hili hususan kwa kuandika katika lugha itakayoelewa na watu wengi. Mara mengi, lugha hiyo siyo lugha ya mama, bali ni lugha ya kigeni, kama Kimombo au Kifaransa. Tatizo hufuata: kila anapoamua kutumia lugha hizi za kigeni, mwandishi hukosa nafasi ya kuendeleza lugha yake mwenyewe. <br />
<br />
Ili kulitatua tatizo hili, hatuna budi kuyatafakari maswali kama haya yafuatayo kwa makini:<br />
a) Mwandishi anawezaje kutekeleza wajibu wake wa kuhifadhi na kuendeleza lugha yake na mila yake? <br />
b) Mwandishi anawezaje kutimiza lengo lake la kuandika maneno yatakayoelewa na kuthaminiwa na wanadamu wenye asili tofauti?<br />
<br />
Maoni yenu?<br />
================================================================================<br />
(Rough Translation)<br />
<br />
Language and Strategies<br />
<br />
Here in the USA, I don't get many chances to speak Swahili. Once in a while, someone who understands the language comes along. We start to speak, but then after a short while, we fall into the trap of speaking English. Similarly, when I try to write in Swahili, I encounter many obstacles. I find it easier to write in English.<br />
<br />
The language issue is a political issue, but more than that it is a communication issue. Everybody would like to be understood, and what’s more, would like to understand others. Every writer aims to spread his/ her message wherever is appropriate. He/ she achieves this most especially by writing in the language that the bulk of the target audience will understand. Often, that language is not his/ her mother tongue, but rather, a foreign language such as English or French. This gives rise to a problem: every time that the writer uses one of these foreign languages, he/ she loses a chance to develop his/ her own language.<br />
<br />
To solve this problem, we have to reflect on the following questions:<br />
a) How can the writer uphold his responsibility (that of preserving and developing his/ her language and traditions)?<br />
b) How can the writer achieve his/ her goal and write words that will be understood and valued by people of different origins?<br />
<br />
Your thoughts?]]></description> 
					<pubDate>Fri, 22 Feb 2008 19:21:00 EST</pubDate> 
					<guid isPermaLink="true">http://www.tigblog.org/group/kiswahili/post/337601</guid>
					<georss:point>42.4927778 -92.3427778</georss:point><geo:Point><geo:lat>42.4927778</geo:lat><geo:long>-92.3427778</geo:long></geo:Point>
                </item> 
                <item> 
                    <title>ALI MAZRUI: NGUGI KISWAHILI, KIKIKUYU</title> 
                    <link>http://www.tigblog.org/group/kiswahili/post/337301</link> 
                    <description><![CDATA[<a href="http://video.google.com/videoplay?docid=-7258599418132742053q=kiswahilitotal=234start=0num=10so=0type=searchplindex=1">http://video.google.com/videoplay?docid=-7258599418132742053q=kiswahilitotal=234start=0num=10so=0type=searchplindex=1</a>]]></description> 
					<pubDate>Thu, 21 Feb 2008 22:15:00 EST</pubDate> 
					<guid isPermaLink="true">http://www.tigblog.org/group/kiswahili/post/337301</guid>
					<georss:point>42.4927778 -92.3427778</georss:point><geo:Point><geo:lat>42.4927778</geo:lat><geo:long>-92.3427778</geo:long></geo:Point>
                </item> 
                <item> 
                    <title>Rais Bush nchini TZ</title> 
                    <link>http://www.tigblog.org/group/kiswahili/post/336071</link> 
                    <description><![CDATA[<a href="http://www.ippmedia.com/ipp/alasiri/2008/02/18/108663.html">http://www.ippmedia.com/ipp/alasiri/2008/02/18/108663.html</a><br />
<br />
Rais Bush Apagawisha<br />
 <br />
2008-02-18 19:49:24 <br />
Na Mwandishi Wetu, Jijini<br />
<br />
<br />
Licha ya kutoka katika taifa lenye nguvu kubwa zaidi za kiuchumi duniani, Rais George W. Bush wa Marekani ameweza kujichanganya na Wabongo Jijini na kuwapagawisha maelfu ya waliofika kumpokea. <br />
<br />
Bush, aliyewasili Jijini tangia Jumamosi jioni kwa ajili ya ziara ya kitaifa ya siku nne nchini, amefanya jambo hilo lisilokuwa la kawaida kwa marais wa taifa hilo walio madarakani na kuwashangaza hata maafisa wake wa Kikosi cha FBI. <br />
<br />
Kwa ujumla, mambo yenyewe aliyoyafanya Rais Bush mara tu baada ya kutua kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere na kuwapagawisha watu ni kama haya: <br />
<br />
Ajitosa uswazi: <br />
Awali ya yote, alipotua pale kwenye `terminal one`, Bush alitoa mpya wakati alipositisha ghafla zoezi lake la kupungia mkono watu waliokuja kumpokea na kisha kujichanganya nao kwa muda. <br />
<br />
Ilianza kama masihara vile, Bush alichomoka ghafla toka kwenye kapeti kali jekundu alilokuwa akipitishwa na mwenyeji wake, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Bw. Jakaya Kikwete. <br />
<br />
Kisha kwa mastaajabu ya wengi, akamuendea mama mmoja aliyekuwa miongoni mwa watu tele waliokuwa wakimpungia na kukumbatiana naye. Jambo hilo liliamsha hisia kali za furaha na nderemo. <br />
<br />
Jana, Bush akaendelea kujichanganya `uswazi`, kunako mitaa ya Buguruni na Ilala ambako, ingawa alikuwa akilindwa vikali, aliweza kutimiza ratiba yake ya kuzindua majengo mapya katika Hospitali ya Amana, yaliyofadhiliwa na Serikali yake. <br />
Atema Kiswahili. <br />
<br />
Wakati alipopewa fursa ya kuzungumza pale katika viwanja vya Ikulu, ambako yeye na mwenyeji wake walikutana na waandishi wa vyombo mbalimbali vya habari, Rais Bush alibonga Kiswahili kwa namna isiyotarajiwa. <br />
<br />
Alikamata mic, kisha akasalimia kwa kusema `Mambo viipiii!`` <br />
``Alinishangaza. Kamwe sikujua kama Rais Bush anaweza kutusalimia kwa Kiswahili,`` amesema Bw. John Jacob, mkazi wa Manzese Jijini. <br />
<br />
Amwaga Mapesa <br />
Pamoja na kuwapagawisha Wabongo kwa staili ya ujio wake na mivifaa ya kisasa ya kumlinda ikiwa ni pamoja na midege na migari myeusi ya bei mbaya, Rais Bush amewaletea neema Wabongo. <br />
<br />
Yeye na mwenyeji wake, Rais Kikwete, wamesaini mkataba utakaoiwezesha Tanzania kupata msaada wa dola za Kimarekani Milioni 698 sawa na pesa za Kitanzania bilioni 800. Haijapata kutokea! <br />
<br />
Pesa hizo zitatumika kwa ajili ya miradi mbalimbali ya maendeleo, ikiwa ni pamoja na kujengea miundombinu ya barabara. <br />
<br />
Aidha, mke wa Rais Bush, Bi. Laura Bush, amemwaga msaada wa dola za Kimarekani Milioni 43 kwa mradi unaokwenda kwa jina la `Pamoja Inawezekana`, ulio chini ya Mama Salma Kikwete, kwa ajili ya kuwasaidia watoto yatima nchini. <br />
<br />
SOURCE: Alasiri <br />
]]></description> 
					<pubDate>Mon, 18 Feb 2008 21:05:00 EST</pubDate> 
					<guid isPermaLink="true">http://www.tigblog.org/group/kiswahili/post/336071</guid>
					<georss:point>42.4927778 -92.3427778</georss:point><geo:Point><geo:lat>42.4927778</geo:lat><geo:long>-92.3427778</geo:long></geo:Point>
                </item> 
                <item> 
                    <title>WAKENYA WENZANGU NAWAOMBA TUDUMISHE AMANI</title> 
                    <link>http://www.tigblog.org/group/kiswahili/post/324849</link> 
                    <description><![CDATA[Wakenya wenzangu,<br />
Bona nchi yetu kawa janga la vita?<br />
Nani katuambukiza shida hii kwani jambo geni ambalo hatujakuwa nalo hapo awali?<br />
Wakaazi wa mitaa ya mabanda, unyama upi kawaingilia? Mbona mwauana pasipo sababu kamili na hata kama ipo mwavunja amri iliyoko katika maadiko matakatifu.<br />
Wakenya, kwani uhusiano ambao tumekuwa nao hapo awali ulijengwa juu ya misingi ipi?<br />
Nawaomba kwa hisani yangu, isiwe tumejenga uhusiano wetu juu ya misingi ya KIKABILA wala KISIASA.<br />
Je, mie mkaazi wa mtaa wa Mabanda na uhusiano upi na wizi wa Kura iwapo ulikuwepo?<br />
Nawauliza tena, mie mkaazi wa Mabanda na uhusiano upi na wizi wa Kura iwapo ulikuwepo?<br />
Ni jambo la kutisha kuona jinsi wahadhiriwa walioishi katika mitaa ya mabanda wanavyo ishi katika uwanja wa Maonyesho wa Nairobi na pia katika uwanja ulioko Nakuru.<br />
Jambo na kutisha ni Kuwa Atieno na Nyambura hutumia godoro moja kwa upendo.<br />
Je, wakenya Wenzangu, mbona tusione haya na kukomesha uhasidi uliojidhihirisha?<br />
<br />
<br />
Mie kikenya1@yahoo.com<br />
]]></description> 
					<pubDate>Tue, 22 Jan 2008 02:44:00 EST</pubDate> 
					<guid isPermaLink="true">http://www.tigblog.org/group/kiswahili/post/324849</guid>
					<georss:point>0.35 37.5833333</georss:point><geo:Point><geo:lat>0.35</geo:lat><geo:long>37.5833333</geo:long></geo:Point>
                </item> 
                <item> 
                    <title>Mgogoro wa Kisiasa Nchini Kenya</title> 
                    <link>http://www.tigblog.org/group/kiswahili/post/318557</link> 
                    <description><![CDATA[http://www.bbc.co.uk/swahili/news/story/2008/01/080102_dira2.shtml<br />
<br />
Diplomasia yaingilia kati ghasia za Kenya <br />
Imeandikwa na BBC London.<br />
<br />
Pande zote mbili katika mzozo wa uchaguzi wa Kenya zimetupiana lawama za kuchochea ghasia huku jitihada za kidiplomasia zikifanyika kutuliza mgogoro wa kisiasa nchini humo.<br />
<br />
Watu wasiopungua 275 wameuawa, wakiwemo 30 magharibi mwa Kenya ambao walichomwa moto ndani ya kanisa walikoenda kuomba hifadhi....<br />
<br />
===============================================================================<br />
<br />
Diplomatic Intervention in Kenyan Chaos<br />
Written by BBC London<br />
<br />
The two sides in the Kenyan election conflict continue to blame each other for inciting violence while diplomatic efforts are being made to bring an end to the political conflict.<br />
<br />
Not less than 275 people have been killed, 30 of them burned to death in a fire in a church in the West of the country where they went to seek refuge...]]></description> 
					<pubDate>Thu, 03 Jan 2008 23:05:00 EST</pubDate> 
					<guid isPermaLink="true">http://www.tigblog.org/group/kiswahili/post/318557</guid>
					<georss:point>42.4927778 -92.3427778</georss:point><geo:Point><geo:lat>42.4927778</geo:lat><geo:long>-92.3427778</geo:long></geo:Point>
                </item> 
                <item> 
                    <title>Karibuni</title> 
                    <link>http://www.tigblog.org/group/kiswahili/post/317821</link> 
                    <description><![CDATA[Hamujambo wanaTIG?<br />
Karibuni kwa kundi letu la Kiswahili.<br />
Jameni tuseme Kiswahili, tusije tukakisahau!<br />
<br />
Ninamutakia nyote heri na fanaka za mwaka mpya.<br />
<br />
===============================================================================<br />
<br />
Hello TIGers<br />
Welcome to our Swahili group.<br />
Come on and join us in speaking Swahili!<br />
<br />
Wishing you all a great start to 2008 and a Happy New Year!]]></description> 
					<pubDate>Fri, 28 Dec 2007 19:42:00 EST</pubDate> 
					<guid isPermaLink="true">http://www.tigblog.org/group/kiswahili/post/317821</guid>
					<georss:point>42.4927778 -92.3427778</georss:point><geo:Point><geo:lat>42.4927778</geo:lat><geo:long>-92.3427778</geo:long></geo:Point>
                </item>
</channel>
</rss>